You are here: Home » Chapter 76 » Verse 8 » Translation
Sura 76
Aya 8
8
وَيُطعِمونَ الطَّعامَ عَلىٰ حُبِّهِ مِسكينًا وَيَتيمًا وَأَسيرًا

Na huwalisha chakula, juu ya kukipenda kwake, masikini, na yatima, na wafungwa.