You are here: Home » Chapter 47 » Verse 37 » Translation
Sura 47
Aya 37
37
إِن يَسأَلكُموها فَيُحفِكُم تَبخَلوا وَيُخرِج أَضغانَكُم

Na akikutakeni hayo na kukushikilieni mtafanya ubakhili, na atatoa undani wa chuki zenu.