You are here: Home » Chapter 23 » Verse 20 » Translation
Sura 23
Aya 20
20
وَشَجَرَةً تَخرُجُ مِن طورِ سَيناءَ تَنبُتُ بِالدُّهنِ وَصِبغٍ لِلآكِلينَ

Na mti utokao katika mlima wa Sinai, unatoa mafuta na kuwa kitoweo kwa walao.