You are here: Home » Chapter 13 » Verse 29 » Translation
Sura 13
Aya 29
29
الَّذينَ آمَنوا وَعَمِلُوا الصّالِحاتِ طوبىٰ لَهُم وَحُسنُ مَآبٍ

Wale walio amini na wakatenda mema watakuwa na raha na marejeo mazuri.