You are here: Home » Chapter 12 » Verse 20 » Translation
Sura 12
Aya 20
20
وَشَرَوهُ بِثَمَنٍ بَخسٍ دَراهِمَ مَعدودَةٍ وَكانوا فيهِ مِنَ الزّاهِدينَ

Na wakamuuza kwa thamani duni, kwa akali ya pesa. Wala hawakuwa na haja naye.