51وَلا تَجعَلوا مَعَ اللَّهِ إِلٰهًا آخَرَ ۖ إِنّي لَكُم مِنهُ نَذيرٌ مُبينٌ Wala msifanye kuwa kuna mungu mwengine pamoja na Mwenyezi Mungu. Hakika mimi ni mwonyaji kwenu wa kubainisha nitokae kwake.