You are here: Home » Chapter 42 » Verse 35 » Translation
Sura 42
Aya 35
35
وَيَعلَمَ الَّذينَ يُجادِلونَ في آياتِنا ما لَهُم مِن مَحيصٍ

Na ili wajue wanao jadiliana katika Ishara zetu kwamba hawana pahala pa kukimbilia.