You are here: Home » Chapter 3 » Verse 46 » Translation
Sura 3
Aya 46
46
وَيُكَلِّمُ النّاسَ فِي المَهدِ وَكَهلًا وَمِنَ الصّالِحينَ

Naye atazungumza na watu katika utoto wake na katika utuuzima wake, na atakuwa katika watu wema.