99وَلَقَد أَنزَلنا إِلَيكَ آياتٍ بَيِّناتٍ ۖ وَما يَكفُرُ بِها إِلَّا الفاسِقونَ Hakika tumekuteremshia Ishara zilizo wazi na hapana wanao zikataa ila wapotovu.