You are here: Home » Chapter 16 » Verse 58 » Translation
Sura 16
Aya 58
58
وَإِذا بُشِّرَ أَحَدُهُم بِالأُنثىٰ ظَلَّ وَجهُهُ مُسوَدًّا وَهُوَ كَظيمٌ

Na mmoja wao akibashiriwa kwa msichana, uso wake unasawijika, naye kajaa chuki.