You are here: Home » Chapter 7 » Verse 191 » Translation
Sura 7
Aya 191
191
أَيُشرِكونَ ما لا يَخلُقُ شَيئًا وَهُم يُخلَقونَ

Ati wanawafanya viumbe kuwa ni washirika wa Mwenyezi Mungu, nao hawaumbi, bali wao ndio wanaumbwa?