You are here: Home » Chapter 19 » Verse 39 » Translation
Sura 19
Aya 39
39
وَأَنذِرهُم يَومَ الحَسرَةِ إِذ قُضِيَ الأَمرُ وَهُم في غَفلَةٍ وَهُم لا يُؤمِنونَ

Na waonye siku ya majuto itapo katwa amri. Nao wamo katika ghafla, wala hawaamini.